Monday, 21 March 2016

"Nafasi za kazi.... Mwambie na mention... Tender sawa

.. NAFASI ZA KAZI

Vacancies at  PTA Bank www.ajiradailytz.com share with a friend

Job vacancies at Jordan University Morogoro www.ajiradailytz.com share with a friend

 Vacancies at African development Bank www.ajiradailytz.com share with a friend

UNDP Internship programme www.ajiradailytz.com share with a friend

 Information system engineer post  www.ajiradailytz.com share with a friend

Senior Information technology officer , East Africa community www.ajiradailytz.com share with a friend

Nafasi za kazi KCB bank Tembelea www.ajiradailytz.com share ujumbe huu na Rafiki yako anayetafuta kazi

Nafasi za kazi TANESCO Tembelea www.ajiradailytz.com share ujumbe huu na Rafiki yako anayetafuta kazi

Nafasi za kazi mpya nyingi tembelea www.ajiradailytz.com share na mwenzio

 Nafasi za kazi wizara ya nishati na madini tembelea www.ajiradailytz.com share ujumbe huu na Rafiki yako anayetafuta kazi

Nafasi za kazi BOT Tembelea www.ajiradailytz.com share ujumbe huu na Rafiki yako anayetafuta kazi

Job at IOM Tanzania visit www.ajiradailytz.com share with a friend

Tembelea www.ajiradailytz.com kwa nafasi mpya za kazi leo

 Vacancies at Mwanza region  visit www.ajiradailytz.com share with a friend

Information technology job in Arusha visit www.ajiradailytz.com share with a friend

Teachers post at dar es salaam independent school visit www.ajiradailytz.com share with a friend

 Vacancy at PSPFvisit www.ajiradailytz.com share with a friend

 Vacancies in Tabora region visit www.ajiradailytz.com share with a friend

Job post at intrahealth visit www.ajiradailytz.com share with a friends

Post at TANESCO SACCOS visit www.ajiradailytz.com share with a friends

JOBS AT SADC - TANZANIANS tembelea www.ajiradailytz.com share na Rafiki yako

MWALIMU COMMERCIAL BANK JOB O PPORTUNITIES tembelea www.ajiradailytz.com

JHPIEGO EMPLOYMENT OPPORTUNITY www.ajiradailytz.com

Recruitment at MWANANCHI COMMUNICATIONS LIMITED www.ajiradailytz.com share

Jobs at Serengeti Breweries Ltd www.ajiradailytz.com share

AIRTEL TANZANIA JOBS www.ajiradailytz.com share

Job Opportunities at VSO Tanzania visit us on www.ajiradailytz.com

 Graduate Trainee at IT Sales Services LTD (ITSS)   visit us on www.ajiradailytz.com share with friends

Employment Opportunities at Nyanza Road Works Ltd (NRWL visit us on www.ajiradailytz.com share with friends

12 Jobs at International Organization for Migration please visit  www.ajiradailytz.com share with friends

 New Jobs at Alliance Life Assurance Limited – Tanzania  visit us on www.ajiradailytz.com share with friends

Sunday, 13 March 2016

Hizi ndio Familia 13 za Illuminati zenye nguvu duniani Zilizopewa nafasi ya Kuumaliza Ulimwengu

Kila familia hapa chini imepewa kazi yake ya kuumaliza Ulimwengu kutoka utawala wa Mungu hadi utawala wao wa NEW WORLD ORDER "NWO", na hizi ndo familia zinazo control dunia nzima yaani wamejivisha umungu mtu, na hizi familia hazijaanza leo wala jana zimeanzishwa kabla hata Yesu na Mtume Muhammad S.A.W na huu ndio mwendelezo wake.

Hawa ndio wenye uwezo wa kufanya Mtanzania aishi chini ya Dolla 100 au 1, kutokana na Mipango yao ya New World Order, kwenye nchi yako umefikia wapi? Wenzetu South Africa walishakubali kitambo kwa shinikizo la makaburu ndio maana unaona maisha kwao ni mepesi, bahati nzuri nimefanikiwa kukaa South, kiufupi ndio Nchi iliyoendelea kwa Africa lakini ndio Nchi inayoongoza Maovu na Laana ambayo kwa niliyo yaona mimi hayasimuliki.

Unaweza kuyasachi haya majina ya familia 13 za Illuminati;



  1. The Astor Bloodline
  2. The Bundy Bloodline
  3. The Collins Bloodline
  4. The DuPont Bloodline
  5. The Freeman Bloodline
  6. The Kennedy Bloodline
  7. The Li Bloodline
  8. The Onassis Bloodline
  9. The Reynolds Bloodline
  10. The Rockefeller Bloodline
  11. The Rothschild Bloodline
  12. The Russell Bloodline
The Van Duyn Bloodline


[​IMG]

Kwenye Dolla ya Marekani imeandikwa In God We Trust hii ndio Maana kamili;

[​IMG]

Nipeni Ushirikiano nimwage Mchele Mwingine..

Dangote azidi kutajirika Afrika




Mtu tajiri barani Afrika kutoka Nigeria Aliko Dangote amepanda katika watu matajiri katika orodha ya Forbes ya watu mabilionea ,huku mali yake ikiongezeka na kufikia dola bilioni 15.4.
Bwana Dangote ameorodheshwa wa 51 duniani ukilinganisha na nafasi ya 67 mwaka 2015 wakati gazeti hilo la Forbes lilipoiweka mali yake kufikia dola bilioni 14.7.
Ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Cement ,ikiwa ndio kampuni kubwa katika uzalishaji wa simiti barani Afrika.
Mtu wa pili kwa utajiri barani Afrika ni raia mwengine wa Nigeria ,Mike Adenua ambaye ana thamani ya dola biloni 10,huku raia wa Afrika Kusini Nicky Oppeheimer akiwa katika nafasi ya tatu na mali yenye thamani ya dola bilioni 6.6.
Gazeti hilo linamuweka Adenua ambaye alitajirika kutokana na mafuta na kampuni za mawasiliano katika nafasi ya 103 katika orodha ya mabilionea duniani huku Openheimer akiwa nafasi ya 103.

Saa zinazoweza kutumiwa kuiba mitihani


Saa za kisasa ambazo zimetengenezwa mahususi kutumiwa kudanganya wakati wa mtihani zimekuwa zikiwakosesha usingizi walimu na wasimamizi wa mitihani.
Saa hizo zina uwezo wa kuweka akiba data na maelezo ambayo yanaweza kusomeka mtu anapofanya mtihani.
Aidha, zina kitufe cha dharura ambacho kinaweza kubadili uso wa saa hizo haraka sana na badala ya kuonesha habari ziwe zinaonesha uso wa kawaida wa saa.
Saa hizo zinatangazwa katika soko la kuuza bidhaa mtandaoni la Amazon.
Mojawapo ya aina ya saa hizo ina uwezo wa kuweka akiba data ya 4GB. Nyingine, ambayo itaanza kuuzwa baadaye mwaka huu, itakuwa na uwezo wa 8GB na inaweza kuhifadhi hata video.
Baadhi ya saa hizo, zina kifaa kidogo sana cha kusikizia ambacho hakitumii nyaya, jambo linalowezesha mtu kusikiliza kilichohifadhiwa kwenye saa hiyo bila kuonekana.
    Udanganyifu wa mitihani ni kawaida India
    Visa vya wizi mtihani wa taifa Kenya vyaongezeka
    Watafutaji kazi walazimishwa kuvua nguo India
 Tangazo moja katika mtandao wa Amazon linasema mtu anaweza kununua saa ya aina hiyo kwa $61 (£43).
Kuna pia matangazo ya saa hizo eBay.
Naibu mwalimu mkuu wa shule moja kutoka Bath, Uingereza anasema saa hizo zinaweza zikawashawishi wanafunzi kuhadaa katika mtihani.
Bw Joe Sidders wa shule ya Monkton Combe Senior School amesema ingawa saa hizo zinaweza kudhibitiwa kwa kutumia sheria zinazoharamisha simu na kompyuta kutoka vyumba vya mitihani, ni changamoto kubwa sana kwa watu wanaosimamia mitihani.
Amesema uuzaji wa saa hizo unafaa kudhibitiwa.
Kuna pia “kalamu za kuiba mtihani” ambazo zinaweza kuhifadhi habari na maelezo.
Ongezeko la matumizi ya saa kuiba yamefanya baadhi ya mashirika kupiga marufuku saa katika vyumba vya mitihani Uingereza

Apple yashinikizwa kuifungua simu


Utawala nchini Marekani unakata rufaa kupinga uamuzi wa jaji wa kukosa kuamrisha kampuni ya Apple kuifungua simu ya mkononi katika kesi moja inayohusu madawa ya kelevya.
Wizara ya sheria inatumia sheria sawa na iliyotumia katika majaribio yake ya kwanza ya kuitaka Apple kuifungua simu ya mwanamgambo aliyetekeleza mauaji katika eneo la San Bernardino.

Serikali ilienda mahakamani baada ya jaji katika neo la Brooklyn kusema kuwa hakuwa na mamlaka ya kutoa amri kama hiyo.
Katika kesi hiyo, serikali ya Marekani inamtaka jaji kuamrisha Apple iifungue simu ya Jun Feng, ambaye alikiri kuhusika katika ulangusi wa madawa ya kulevya.
Inataka kutumia simu hiyo kuwanasa baadhi ya washirika wake

Mkutano mkubwa wa hadhara wa kumtambulisha Katibu mkuu CHADEMA Dr Vicent Mashinji -Furahisha Mwanza

Ni Jumapili njema yenye kila aina ya shamrashamra hapa Mwanza.

Jumapili iliyoingia katika historia ambayo usiku wa kuamkia kwake Taifa limeshuhudia Msomi aliyebobea Dr Vicent Mashinji akiukwaa nafasi ya Katibu mkuu wa chama kinachopendwa zaidi nchini CHADEMA.

Freeman Mbowe gwiji wa siasa za Tanzania aliicha dunia mdomo wazi pale alipotamka jina ambalo halikutarajiwa kabisa kuvaa viatu vya Katibu Mkuu.Shangwe nderemo na hoihoi za wajumbe ziliashiria kukubalika kwa mteule huyo wa Mwenyekiti.

Kama ilivyotangazwa awali kijana huyo mwenye miaka 43 na msomi ambaye huenda ndiye msomi kuliko makatibu wakuu wa vyama vyote duniani atapanda jukwaani kutambulishwa kwa umma.

Mkutano wa kumtambulisha Dr Mashinji utafanyika katika viwanja vya Furahisha kuanzia saa 8 mchana na utahudhuriwa na viongozi wote wakuu.

Tutawaletea kila kitakachojiri katika mkutano huo unaotarajiwa kuvunja rekodi ya mikutano jijini Mwanza kwa miaka ya karibuni.

Katibu Mtendaji NACTE ajiuzulu, kufuatia tuhuma za kughushi vyeti

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Vyuo vya Ufundi( NACTE),Dr. Primus Nkwera amejiuzulu nafasi yake.

Uamuzi wa kujiuzulu kwa Dr. Nkwera ulitangazwa katika ofisi kuu za Baraza hilo zilizopo Mikocheni Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Bodi,Mhandisi Steven Mlote na kusababisha baadhi ya wafanyakazi kuangua kilio.

Akizungumza katika kikao cha dharura cha wafanyakazi wote wa baraza hilo,Mlote alisema Dr. Nkwera amejiuzulu ili kulinda hadhi ya Nacte kutokana na habari iliyoandikwa na Gazeti la Dira ikimtuhumu mambo mbalimbali.

Gazeti hilo la Dira la Jumatatu tarehe 07/03/2016 toleo no.405 lilimtuhumu Katibu Mtendaji wa NACTE, Dr.Primus Nkwera kughushi vyeti vya shahada ya uzamivu baada ya kusomeshwa na serikaliAfrika Kusini na kufeli.

Mlote alisema kwa mujibu wa Dr. Nkwera, nafasi hiyo haipaswi kushikwa na mtu mwenye tuhuma ya aina yoyote, na ametafakari na kuona ajiweke kando na uongozi wa Nacte ili uchunguzi ufanyike akiwa pembeni.

"Tumetumia muda mwingi kutafakari hoja ya Dr. Nkwera na hatimaye tumekubali kujiuzulu kwake kwa shingo upande," alisema Mlote na kuongeza:

"Kazi kubwa iliyofanywa na Dr. Nkwera akiwa kiongozi wa Nacte inafahamika na kila mmoja, vilio na machozi ya wafanyakazi wenzake yanadhihirisha kuwa kujiuzulu kwake kunaacha simanzi kubwa.

"Najua mmepata mshtuko mkubwa, lakini Dr Nkwera hajafa, yuko hai na huyu bado ni mtumishi wa serikali. Alichofanya ni kuamua kuachana na ukatibu utendaji.

"Tutaendelea kumtumia itakapobidi kwa ushauri.Wakati mwingine lazima mkubaliane na hali hii, lakini pia endeleen kuchapakazi kwa ufanisi kama kawaida kana kwamba bado mko na Dr. Nkwera."

Kutokana na kujiuzulu kwake, Mlote alisema bodi imemteua Mkurugenzi wa Mitaala wa Nacte, Dr Adolf Rutayunga kukaimu nafasi hiyo wakati taratibu nyingine zikiendelea.

Akizungumza na wafanyakazi hao, Dr. Rutayunga alisema viatu alivyoviacha Dr. Nkwera ni vikubwa kwake, lakini akaahidi kuendeleza yote aliyoyaacha.